Tanganyika : Baraza la bunge ya jimbo ina amua  ju kotolewa ku madalaka ya gavana Julie Ngungwa

Havana wa Jimbo ya Tanganyika, Julie Ngungwa, alitolewa na mbunge  la jimbo Léo siku ya kwanza taré nane mwezi wa tano msingi « sifa mbaya yakutokuwa n'a uwezo pia n'a uongozi mbaya ».

Redaction

8 Tano 2023 - 07:46
 0
Tanganyika : Baraza la bunge ya jimbo ina amua  ju kotolewa ku madalaka ya gavana Julie Ngungwa

 wanabunge kumi n'a iné(14) wali tshaguwa ju ya kumutowa  gavana wa jimbo la Tanganyika ku kiwango kya makumi mbili n'a tano(25) ya wanabunge wenye ku keti kwenye baraza ya Jimbo 

Julie Ngangwa wenye Ali mgombiwa Zoé Kabila, mdogo wa Raîsi wazamani wa jamuhuri ya kidemocratia ya Congo, ku mwaka elfu makumi mbili- n'a mbili(2022) kisha kuondoshwa kwake ba wanabunge wa jimbo la Tanganyika, mwenye vile balimuseya ya kwamba  ajuwe kutumika kazi.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.