Bunge la Jimbo ya Kinshasa: Godé Mpoyi ameondoshwa
Rais wa bunge la jimbo la mji ya Kinshasa, Godé Mpoyi Kadima, amefutwa Ku kazi leo Siku ya tano taré saba mwezi Wa saba.
Yéyé ni mumoja ambaye alijaribu kupingana na Gentiny Ngobila alifukuzwa kazini na manaibu wa majimbo makumi tatu n'a iné kati ya makumi ine n'a moja waliokuwepo kwenye kikao cha leo.
Kuangushwa kwa Gode Mpoyi kunatokana na mastaki yenye ili tungwa na gundi moja ya manaibu Wa jimbo waomustaki kwa uzembe na usimamizi mbovu wa mkuu wa baraza hili la mkoa.
Gavana wa jiji la Kinshasa anatokeya mshindi kutoka kwa mzozo na rais wa Bunge la Mkoa. Wanaume hao wawili walikuwa wamefanya amani hadharani.