Kinshasa: ukaguzi wa barabarani umesimamishwa hadi ilani nyingine
Nyumba kuu ya mji Wa Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesimamisha operesheni ya udhibiti wa trafiki katika mji huo hadi itakapotangazwa tena.
Hii ilitangazwa katika taarifa kwa vyombo vya habari kutoka kwa gavana wa mji mkuu wa Kongo Alhamisi hii, Desemba tare Saba.
Karibu ya uchaguzi mkuu na sherehe za mwisho wa mwaka zikikaribia, wakaazi wa Kinshasa walikabiliwa na ukaguzi wa barabarani, ambao ulisababisha msongamano mkubwa wa magari kwenye ma barara kuu na ya kidogo ya mji huyo.