DRC - Tumbili: idadi ya watu wanao shukiwa huongezeka hadi 42000
Wakati wa mkutano ulioandaliwa kwa pamoja, Siku ya pili Novemba 13, na mwenzake kutoka mawasiliano na vyombo vya habari, Waziri wa Afya ya Umma, Usafi na Ustawi wa Jamii, Dr Samuel Roger Kamba aliwasilisha hali ya janga ya tumbili.
Kesi arobaini na mbili elfu zinazoshukiwa zimerekodiwa na vifo elfu moja mia moja na thelathini vilivyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo.
Dr Samuel Roger Kamba alitumia fursa hiyo kuwasilisha juhudi ya wizara yake na miundo mingine ju ya kuenea kwa tumbili.
"Kila wiki tunafanya mkutano wa mkakati na washirika wote ili kila mtu apate habari kila wakati. Kwa hivyo, chaguzi tunazofanya sio tu chaguo madhubuti ya Kongo, lakini chaguzi ya kikanda kwa kuzingatia ukweli wa kisayansi wa kimataifa. Tunafuatilia nafasi hii mara kwa mara na tumeona mwelekeo wa kupanda, "alisema.
Waziri Kamba Roger anabainisha, hadi sasa, ukamilifu wa 80%. Hili liliwezekana kutokana na kutumwa kwa timu kutoka Wizara ya Afya ili kufuatilia kesi zinazoshukiwa.
“Yaani tunatafuta visa vyote ya magonjwa ya mlipuko, kitu chochote kinachofanana na Tumbili kinazingatiwa hivyo. Katika upimaji wa kibaolojia, tunaweza kuondoa baadhi ya magonjwa ambayo hayahusiani.”
Ju ya kupambana na virusi hivi, Wizara ya Afya imeweka jibu kwa kuzingatia nguzo tano: ufuatiliaji, maabara, utunzaji, ulinzi ju ya maambukizi na mawasiliano.
"Huduma hii ya sekta nyingi inaongozwa na Taasisi yetu ya Kitaifa ya Afya ya Umma, kwa msaada wa washirika," waziri alisema kwa msingi.
