Ushirikiano : Félix Tshisekedi alitembelea pale Botswana ju ya matembezi ya masah makumi ine n'a nane
Raïs wa jamuhuri ya kidemocratia ya Congo, Félix -Antoine Tshisekedi Tshilombo, anakaa pâle gaborone, mji mkuu wa Botswana Léo Siku ya pili taré kenda mwaka elfu makumi mbili , makumi mbili n'a tatu kwa Saah ya asubuyi ju ya zihara ya rasm ya Saah makumi ine n'a nane(48h).
Félix Tshisekedi alipokelewa n'a mwenzake wa Botswana, Dr Éric mokgwesi, kwa kutshuka kwake Ku ndegeu, n'a sherehe ya mapokezi ya Raïs wa Inchi ilifantika pâle Ku kiwanja kia ndege mbele ya raïs woote wawili wajielekeze n'a fasi yenye ilitayarishwa ju ya makao ya Raïs Tshisekedi.
Uso kwa uso Kati ya Éric mokgwesi n'a Félix Tshisekedi ju ya ushirikiano na ma relation bilatérales Kati ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo n'a Botswana ina pangwa kwa ma Saah ya magaribi.wa raïs wa Wili wata kuwa mbele ya wapasha habari ju ya maongezi mbalimbali.
N'a kwaku malizia , kulitayarishwa tshakula ju ya mbwana wa Wili Awa wa sihasa kwa ma Saah za Maghribi ya Léo Siku ya pili taré kenda mwezi wa Tano, ili semekwa n'a moja ya rapporter wa ki Raïs ya Botswana mwenye Ali aluzwa n'a UNE.CD.