Mgogoro wa mihindi pâle mji Katanga : Patrick Muyaya anonesha yakwamba kuko watu wa moyo mbaya nyuma ya iyo jambon « kupitiya tshiya ya zambia »
Ulizo ju ya ufungufu wa mindi ndani ya Katanga n'a upande wa Kasaï ina sababisha masemi mingi. Kwa upande wa serkali ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo, watu wa" mawazo mbaya " Wali jihimiza ju zambia ahatshe kuleta iyo biashara ya muhimu kwa idadi ya watu wa upande uyo wa Katanga n'a Kasaï.
Mbele ya wapasha habari ,wakati wa briefing Siku ya kwanza taré nane mwezi wa Tano, Patrick Muyaya aliona ya kwamba neno iyo iko tu idadi ya watu wa moyo mbaya mwenye wiko Namjuwano n'a intshi zambia, n'a wauzaji wakubwa ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo kwa mihindi n'a biashara vingine.
« Inaonekana kwa uzuni , ukosefu ya unga wa mihindi inasabishwa n'a sehemu ya watu mwenye wanaonekana n'a moyo mbaya wenye Wiko n'a connexion n'a mji zambia, Wali patana ya kwamba zambia ikatale kabisa Ku huzisha mihindi jamuhuri ya kidemocratia ya Congo, jerani wake wa karibu, wakati zambia inauzishuya Kenya, etshiopia n'a ma intshi ingine ya ki Africa ya Est. N'a ya kushangaza saana ni ukatazo wa ma garnison yoote yenye kutokeya ma inchi zingine ya ki Africa ifike apa jamuhuri ya kidemocratia ya Congo», alisema waziri wa mawasiliano( communication).
Yoote inaonesha ya kwamba waziri wa communication n'a médias n'a porte parole wa serkali ,ali msemeha njo moïs katumbi , gavana wa zamani wa Jimbo la zamani la kanga wenye iko Léo mupinzani mkubwa ya sihasa ya Félix -Antoine Tshisekedi tshilombo.
Kinshasa inagazi kuleta matokeyo ya muhimu kuhusu upungufu wa unga wa mihindi upande uyo wa Katanga n'a Kasaï. N'a ujumbe ya ma waziri wenye ulisindikizwa n'a Vital kamerhe, Vice -premier ministre, waziri wa utshumi, Wali fika pâle zambia n'a Ku Africa du sud ju ya kutafuta matokeyo ya muhimu.