RDC : Human Rights Watch inaomba kwa bunge ku tupe pendekezo ya sheria tshiani
Shirika la ulinzi ya Aki ya biadamu , human Ringhts watch, kupitiya baruwa ya abari yenye ili wekwa wazi, ana alika wana bunge wa tahifa ku atsha pendekezo ya cheria tshani, yenye inaonekana « ubaguzi ».
Kwa kumsikiya Carine kaneza Nantulya, mkurungezi mfwatayo ya ONG américaine, wakubwa wa jamuhuru ya kidemocratia ya Congo wangi weza kutumikiya cheria iyo tshani , kama île kamatwa ju ya juzuwiya kinyume kia wanainshi mkongomani kuwa candidats kuma cheo ya politique.
« Zaidi ya kuwa n'a ubaguzi , kuitikwa ya cheria iyo inge sababisha ali mpia ukandamizi n'a vurungu », alionsha .
Human Rights wasch aliona, ya kwamba , pendekezo iyo iko tu n'a msingi wa kuweka mbali sehelu nusu ya wakandidats ku utshaguzi wa ki Raisi asa vile Moïse katumbi mwenye alizaliwa n'a baba grec.
Pendekezo la cheria kuhusu congolité, yenye ina sema kuwa mzaliwa wa baba n'a Mama , inapenda tu kukataza unyongezi ku hakimu mkuu n'a kuingine ma kazi yeyote kwa mtu yoote wenye azaliwa n'a mzazi wenye ana ma origine ya Congo
Pendekezo iyo ili tungwa n'a candidats wa ugumbaniyo wa raïsi wa 2018, Noé Tshani, n'a ili bebwana mtehule Nsingi pululu, pendekezo ya cheria ju utahifa ili andikishwa Siku ya pili ku mipango ya makazi ya session iyo ya wanabunge .