Mchakato wa uchaguzi: Ana kwa ana kati ya Denis Kadima na Adolphe Muzito Leo iyi Siku ya kwanza apa Kinshasa
Baada ya Fayulu, Matata, Sesanga na Moïse Katumbi (waliowakilishwa), rais wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ata zungumza n' na rais wa chama cha siasa cha nouvelElan, Leo iyi Siku ya kwanza taré tatu mwezi Wa saba 2023 mjini Kinshasa.
Uso kwa uso kati ya Denis Kadima na Adolphe Muzito itaangazia mchakato wa uchaguzi unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya congo uliokataliwa na wapinzani kadhaa.
"Nitapokea, Siku ya kwanza hii taré tatu mwezi Wa saba 2023 pa saa iné alfajiri katika Hoteli ya Congo River, Rais wa chama cha siasa cha Nouvel Elan, Bwana Adolphe Muzito, ili kujadili mchakato unaoendelea wa uchaguzi", aliandika rais wa CENI. kwenye ukuta wake wa Twitter.
Na Denis Kadima Jumapili Ijumaa, Juni 30,iliyopita wapinzani walikuwa wamedai ukaguzi wa rejista ya uchaguzi, muundo mpya wa CENI na Mahakama ya Kikatiba. Adolphe Muzito angeweza kufuata nyayo za Fayulu, Katumbi, Sesanga na Matata.