Utekaji apa mji Kinshasa: Polisi wanamtaka yeyote anayemtambua mmoja wa watu kwenye picha hizi kuwasilisha malalamiko ili kumfungulia mashtaki
Polisi wa kitaifa wa congo katika mji wa Kinshasa wameweka hadharani orodha (picha na majina) ya watekaji wanaotuhumiwa kukamatwa katika mji mkuu wa congo baada ya operesheni kadhaa kutekelezwa ardhini.
PNC nyenye inaoongozwa na generali Sylvano Kasongo inamtaka yeyote anayemtambua mmoja wa watekaji kwenye orodha yake kufika katika ofisi zake zilizo karibu na ISC Gombe ili kuwasilisha malalamiko yao.
« Kituo cha polisi cha mkoa kinamtaka yeyote anayemtambua mmoja wa watu katika picha hizi kufika katika ofisi zao zilipo barabara ya Dracena katika mtaa wa Gombe karibu na ISC ili kuwasilisha malalamiko yao ili kuwafungulia mashtaki ».
apa Kinshasa, utekaji umeenea. Haipiti siku bila kesi ya utekaji kuripotiwa kwenye mitandao ya kijamii. Baadhi ya watekaji hata wanadai feza kutoka kwa familia za wahasiriwa.