Maniema : wakubwa wa jimbo ilo walinyazisha uvumo kuhusu kufika ya wa m23 mji kindu
Gavana kwa mda wa Maniema , Afani Idrisa Mangala, alisema ku tarée moja mwezi wa tano mwaka uyu tunayo, kutaha abari iyo ya wongo kuhusu kuonekana ya wa atsha Sila wa m23( mouvement du 23mars)ndani ya mji Kindu.
Ju Afani Idrisa mangala, iko njo watu mwenye wali ingiya kwenye FARDC ( djeshi ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo)wenye walikuja Kindu ju ya kuendeleya mafunzo kisha maelekezo ta kamina ku (haut - lomami)n'a kitona( kongo - central).
« Siyo wajambazi wa m23 n'a siyo vile wenye Rwanda, alakini Wiko kweli kweli wa Askari wa congomani. Kwagisi munajuwa , tuko n'a wa belegi wenye kufundisha wa commandos kwa fasi n'a makazi iko n'a fanyika. Ni maendeleo ta mafunzo ya wenye wali itika kuhungiya kwenye djashi, ya wa Askiri wenye wali ingiya ju ya kupiganisha wenye Rwanda shini ya uongozi wa m23 », Alionesha Gavana wa Maniema.
Mazingira siyo nzuri pâle Kindu kisha tangazo ta Raisi wa jamuhuri , ya kusemeka maniema itakuwa makao ya wa m23 ju ya kusubiria kuingiziwa tena ku jamii.
Ma sauti mingi ili inuka ju makadirio iyo ya serkali ya jamuhumuri ya kidemocratia ya Congo, kama vile kigundi kya société civile n'a wa opposition.