Maniema : wakubwa wa jimbo ilo walinyazisha uvumo kuhusu kufika ya wa m23 mji kindu

Gavana kwa mda wa Maniema , Afani Idrisa Mangala, alisema ku tarée moja mwezi wa tano mwaka uyu tunayo, kutaha abari iyo ya wongo kuhusu kuonekana ya wa atsha Sila wa m23( mouvement du 23mars)ndani ya mji Kindu.

Redaction

1 Tano 2023 - 13:21
 0
Maniema : wakubwa wa jimbo ilo walinyazisha uvumo kuhusu kufika ya wa m23 mji kindu

Ju Afani Idrisa mangala, iko njo watu mwenye wali ingiya kwenye FARDC ( djeshi ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo)wenye walikuja  Kindu ju ya kuendeleya mafunzo kisha maelekezo ta kamina ku (haut - lomami)n'a kitona( kongo - central).


« Siyo  wajambazi wa m23 n'a siyo vile wenye Rwanda, alakini Wiko kweli kweli wa Askari wa congomani. Kwagisi munajuwa , tuko n'a wa belegi wenye kufundisha wa  commandos kwa fasi n'a makazi iko n'a fanyika. Ni maendeleo ta mafunzo ya wenye wali itika kuhungiya kwenye djashi, ya wa Askiri wenye wali ingiya ju ya kupiganisha wenye Rwanda shini ya uongozi wa m23 », Alionesha Gavana wa Maniema.


Mazingira siyo nzuri pâle Kindu kisha tangazo ta Raisi wa jamuhuri , ya kusemeka maniema itakuwa makao ya wa  m23 ju ya kusubiria kuingiziwa tena ku jamii.

Ma sauti mingi ili inuka ju makadirio iyo ya serkali ya jamuhumuri ya kidemocratia ya Congo, kama vile kigundi  kya société civile n'a wa opposition.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.