Nord-Kivu : wajambazi Saba wa ADF wali bambwa n'a FARDC

Wa vipengele vya djeshi ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo ila bamba katika usiku wa Siku ya kwanza tarée moja na Siku ya pili taré mbili mwezi wa tano wa jambazi Saba wa ADF, ndani ya chefferie ya bashu, mu territoire ya béni katika Jimbo la nord- Kivu.

Redaction

1 Tano 2023 - 13:35
 0
Nord-Kivu : wajambazi Saba wa ADF wali bambwa n'a FARDC

N'a kwa kuwasikia wa ndugu zetu wa pasha habari wa 7/7.cd, djeshi ya kawahida ili bamba wa jambazi Awa wakati walikuwa mu vita.

« Wali wafata wajambazi Awa wa ADF , wenye walisababisha mauhaji ndani ya localité ya kamwanga, ku chefferie ya bashu,n'a ili kisha mapingano kali kati djeshi lauhaminifu n'a wa jambazi ku urefu wa mtoni tahila »ile ni masemi ya msemajiwa secta ta mafanyikiyo sokola1 grand -Nord, capitaine Antony Mualushayi.


Kisha mapingani iyo, djeshe lakawida ili weza kunyanganya Sila tatu ya vita ya Ali AK-47 n'a mziko moja wa vifaa ya dawa. Naye bwana Antony mualushayi anawamiza wa kahaji n'a  wa upande uyo yakwamba mwiko n'a msimamo wa kweli ya djeshi ya jamuhuri ya kidemocratia ya Congo  ita jitahidi ju ya kutshunga ukimia wa ma frontière ya intshi, n'a vile kwa mtu yote alipatikana n'a tatizo iyo ya vita. kahuli ya msemaji wa secta ya opération sokola1 grand-Nord ana agisa vile yakwamba makazi ya patrouilles ya majeshi pâle Rwenzori n'a ndani ya vallée ya mwalika.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.