Kinshasa: Tshisekedi alizindua makazi ya ujenzi la wafanyabiashara "Musala"
Rais wa Jamhuri, Félix-Antoine Tshisekedi Tshilombo, alizindua rasmi kazi za ujenzi wa jiji la biashara linaloitwa "Musala" alhamisi hii, Julai taré makumi mbili (20), 2023 apa Kinshasa.
Ni mbele ya mamlaka kadhaa akiwemo Waziri Mkuu, Waziri wa Mafunzo ya Ufundi pamoja na Balozi wa Ubelgiji katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya congo Felix Tshisekedi waliweka jiwe la kwanza la ujenzi wa mji huu huko Mombele (Limete).
Ujenzi wa jiji la biashara ni sehemu ya mpango wa Rais wa Jamhuri "Kin Emploi", maono ya Félix-Antoine Tshisekedi Tshilombo ili kukidhi mahitaji ya ajira ya vijana na kupunguza kiwango cha ukosefu wa ajira.
Ujenzi wa jiji la biashara "Musala" unafadhiliwa na Ubalozi wa Ubelgiji nchini DRC.