Kinshasa: serikali inasimamisha shughuli zote zisizo za michezo katika viwanja vya Martyrs na Tata Raphaël

Hadi ilani nyingine, hakutakuwa  shughuli zisizo za mtshezo zitafanyika katika viwanja vya Martyrs na Tata Raphaël. Hayo yalitangazwa na Naibu Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani, Jacquemin Shabani kisha mkutano wa mgogoro uliofanyika Jumapili. 

Redaction

29 Mwezi wa Saba 2024 - 11:29
29 Mwezi wa Saba 2024 - 11:31
 0
Kinshasa: serikali inasimamisha shughuli zote zisizo za michezo katika viwanja vya Martyrs na Tata Raphaël

Mamlaka inataka kwanza kuimarisha kanuni ili kuepusha vifo vipya, ilibainisha VPM ya Mambo ya Ndani, ambayo inatokana na atari iliotokea Jumamosi Julai  makumi mbili n'a Saba kwenye tamasha la Mike Kalambay. 

Shughuli kadhaa za kitamaduni, hata hivyo, zimepangwa katika viwanja vyake viwili vikubwa. Festigola iliyopangwa kufanyika Agosti taré mbili hadi taré ine kwa hiyo imeghairiwa. Tamasha la washiriki wa Fally Ipupa pia lililopangwa kufanyika Agosti taré kumi na kumi Na moja katika uwanja wa Martyrs pia limekatishwa. 

Msanii wa muziki Gally Garvey pia amepanga onyesho kubwa Agosti taré makumi tatu na moja. Tukio ambalo linaweza lisifanyike.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.