Kinshasa: Kesi ya Salomon Kalonda itahaanza Siku ya ine Agosti taré kumi na Saba
Kesi ya Salomon Kalonda itahaanza Alhamisi Agosti taré kumi na Saba 2023 katika Mahakama Kuu ya Kijeshi apa Kinshasa, mawakili wa jamaa ya Moïse Katumbi wanaripoti.
Mshauri Maalum wa Moïse Katumbi atakabiliana na jaji wake wa asili miezi miwili baada ya kuhamishwa hadi ofisi ya mwendesha mashtaka wa kijeshi huko Kinshasa ambako amezuiliwa tangu Juni taré kumi 2023.
Salomon SK Della, mkono wa kulia wa mshirika wa Katumbi, anatuhumiwa kufanya ujasusi na Rwanda na M23 kumpindua Félix Tshisekedi kwa manufaa ya raia wa Katangese.
Mshauri maalum wa Moïse Katumbi, Salomon Kalonda, alikamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa N'djili mnamo Jumanne, Mei taré makumi tatu na walinzi wa Republican.