DRC: Félix Tshisekedi anahadi kukarabati kilomita 38,000 za ma  barabara ya huduma ya kilimo mnamo 2025

Rais wa Jamhuri, Félix-Antoine Tshisekedi Tshilombo, anajitolea kukarabati, kwa jumla, kilomita elfu thelathini na nane (38,000) ya huduma ya kilimo katika eneo lote mwaka wa 2025, kupitia mpango wa maendeleo ya kilimo. 

Redaction

11 2024 - 18:11
11 2024 - 18:11
 0
DRC: Félix Tshisekedi anahadi kukarabati kilomita 38,000 za ma  barabara ya huduma ya kilimo mnamo 2025

Rais Tshisekedi pia anajitolea kukarabati kilomita 11,423 ya kipaumbele katika mwaka mmoja. Mkuu wa Nchi, ju ya kutimiza ahadi hii, atapeleka brigedi katika kila mkoa ili kutekeleza kazi hiyo. 

"DRC ni eneo kubwa la ujenzi, nchi inayoendelea ambayo inajenga mustakabali mzuri, na huu ni mwanzo tu," alisema, akimaanisha uwekezaji wenye thamani ya dola milioni kadhaa za Marekani, na hivyo kutengeneza ajira kadhaa. 

Félix Tshisekedi pia anakusudia kufanya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Ndani unaozingatia maeneo miya makumi ine na tano (PDL145 T) kuwa kipaumbele kikuu katika mwaka wa 2025.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.