Vita Mashariki: Corneille Nangaa anaunda kundi yake la waasi kwa muungano na M23 inayoungwa mkono na Rwanda
Rais wa zamani wa kituo cha uchaguzi cha DRC, Corneille Nangaa, ametangaza kuunda kundi yake la waasi linaloitwa Alliance Fleuve Congo (AFC), kwa ushirikiano na M23 inayoungwa mkono na Rwanda.
Alitoa tangazo hili kutoka Nairobi, mji mkuu wa Kenya, Ijumaa hii, Desemba kumi na tano.
Alizindua kile anachokiita vuguvugu la Politico-kijeshi, mbele ya kiongozi wa magaidi wa M23, Bertrand Bisimwa na washirika wengine wa Rwanda mjini Nairobi.
"Leo tunazindua Muungano wa alliance fleuve Congo (CFA), hapa Kenya," Corneille Nangaa aliambia vyombo vya habari.
Vuguvugu hili la waasi linajumuisha vikundi vingine kadhaa vyenye silaha vikiwemo FRPI, Zaire, M23, Twilaneho na Pareco.
Msingi ya shirika hili la kijeshi ni, miongoni mwa mambo mengine, kupigana na utawala wa Félix Antoine Tshisekedi, rais wa RDC.
Munastahiri kujuwa kama mtoto huyu wa nchi anaasi taifa lake kwa kujihusisha na utawala wa Rwanda wa Paul Kagame unaounga mkono kundi la M23 kwa kufanya uvamizi na mashambulio mashariki mwa nchi hiyo ili kupora kwa utaratibu asilia. rasilimali za madini. za DRC.
ille Nangaa anaunda kundi yake la waasi kwa muungano na M23 inayoungwa mkono na Rwanda.
Rais wa zamani wa kituo cha uchaguzi cha DRC, Corneille Nangaa, ametangaza kuunda kundi yake la waasi linaloitwa Alliance Fleuve Congo (AFC), kwa ushirikiano na M23 inayoungwa mkono na Rwanda.
Alitoa tangazo hili kutoka Nairobi, mji mkuu wa Kenya, Ijumaa hii, Desemba kumi na tano.
Alizindua kile anachokiita vuguvugu la Politico-kijeshi, mbele ya kiongozi wa magaidi wa M23, Bertrand Bisimwa na washirika wengine wa Rwanda mjini Nairobi.
"Leo tunazindua Muungano wa alliance fleuve Congo (CFA), hapa Kenya," Corneille Nangaa aliambia vyombo vya habari.
Vuguvugu hili la waasi linajumuisha vikundi vingine kadhaa vyenye silaha vikiwemo FRPI, Zaire, M23, Twilaneho na Pareco.
Msingi ya shirika hili la kijeshi ni, miongoni mwa mambo mengine, kupigana na utawala wa Félix Antoine Tshisekedi, rais wa RDC.
Munastahiri kujuwa kama mtoto huyu wa nchi anaasi taifa lake kwa kujihusisha na utawala wa Rwanda wa Paul Kagame unaounga mkono kundi la M23 kwa kufanya uvamizi na mashambulio mashariki mwa nchi hiyo ili kupora kwa utaratibu asilia. rasilimali za madini. za DRC.