Kivu Kaskazini: mji Wa Bunagana sasa iko chini ya mamlaka ya kikosi cha EAC
Mji wa kimkakati wa Bunagana sasa uko chini ya udhibiti wa jeshi la kikanda la EAC. Gavana wa kijeshi wa Kivu Kaskazini, katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa kwa umma Ijumaa taré Saba mwezi Wa saba , alitangaza, katika siku zijazo, kuanza kwa shughuli katika jiji hili.
"(...), ninayo heshima kuwataarifu, hili, juu ya kurejea kwa shughuli zenu katika siku zijazo, mara tu matakwa yaliyoainishwa na Jeshi la Mkoa yamekamilika" inasomeka katika barua hii.
Katika mawasiliano yake, Constant Ndima aliutaka uongozi, raia na askari kuchukua hatua zote za kuandaa mpaka chini ya usindikizaji wa jeshi la EAC.
“(...) Nawaomba kila mmoja achukue taratibu zote zinazohitajika kwa ajili ya kushuka kwa ufanisi kwa timu zenu mpaka Bunagana chini ya usindikizaji wa Jeshi la Kanda ya EAC kufanya hesabu ya huduma zako husika kupitishwa kwa uongozi wako" iliongeza barua hiyo.
Bunagana ilikuwa chini ya mamlaka ya wajambazi wa M23 kwa zaidi ya mwaka mmoja. Tangazo linalotuza juhudi zilizofanywa na Kinshasa.