Kinshasa: mwili wa Cherubin Okende ulipatikana ukiwa ukipikwa masasi kadhaa
Sasa ni rasmi, Cherubin Okende, msemaji wa chama cha kisiasa cha Ensemble pour la République, alifariki n'a kuhuwawa usiku wa Jumatano hadi Alhamisi Julai taré kumi n'a tatu mjini Kinshasa, wakati alikuwa aonekane.
Jamaa wa mpinzani Moïse Katumbi alipatikana akioga kwa damu yake mwenyewe baada ya kupokea risasi kadhaa kutoka kwa bunduki ndani ya gari lake.
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi ulipatikana kwenye njia ya Poids-Lourds (Kinshasa), ulihamishwa asubuhi ya leo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti. Hata hivyo gari lake bado lipo eneo la tukio.
Chérubin Okende, naibu wa kitaifa, alitekwa nyara alipokuwa akirejea kutoka kwa Mahakama ya Kikatiba kuwasilisha ombi lake akiomba kuahirishwa kwa kikao cha kazi kilicho na mamlaka hii.
Uchunguzi unapaswa kufuata ili kufafanua hali ya kifo cha jamaa wa Moïse Katumbi na wale waliohusika na mauaji haya.