Kinshasa: Mchungaji Pierre Kas alihamishiwa Makala
Akiwa amezuiliwa katika seli ya mwendesha mashtaka mkuu katika Mahakama ya Rufaa ya Kinshasa, Mchungaji Pierre Kasongo Kasambakana alihamishwa kwenye gereza kuu ya Makala Jumanne Januari makumi mbili n'a ine 2024.
Mchungaji Daniel Mabiala, baba wa msichana mdogo Meda ambaye ndoa yake ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii, pia alihamishiwa katika gereza ya Kinshasa Pénitentiaire Pia ya mafundisho mpia (CPRK) iliyokuwa gereza kuu la Makala.
Msimamizu wa kwanza wa Kanisa la kwanza anashutumiwa kwa kuchukua wasichana kadhaa wadogo kama wake. Mchungaji huyo angekuwa katika ndoa yake ya 17, kulingana na vyanzo kadhaa.
Mchungaji Pierre Kas yuko katika hatari kubwa, kwani mfumo wa haki wa Kongo haujawa na huruma kwa wahusika wa ubakaji ya wa watoto kwa muda. Sheria inatoa adhabu ya kifungo cha miaka tano hadi makumi mbili ya jela, pamoja na faini kubwa.