Kinshasa: Hii hapa ndiyo orodha ya wagombea ugavana waliotangazwa kukubalika akiwemo Yves EKOMBOLO
CENI (Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi) ilitangaza hadharani, Ijumaa hii, Machi taré makumi mbili na kenda pa jioni, orodha "kwa muda" ya wagombea ugavana iliyotangazwa kustahili kuchaguliwa kwa magavana wa mikoa na makamu wa magavana.
Katika orodha ya waombi 29 yaliyotangazwa kukubaliwa ni ya Yves EKOMBOLO, mhusika wa maendeleo na mshauri mkuu wa kimataifa, ambaye anataka kurejesha sura ya mji mkuu wa Kongo, kwa msisitizo mkubwa juu ya usalama wa Jiji la Mkoa wa Kinshasa.
Ni wagombea tatu tu kati ya makumi mbili n'a kenda (29) waliotuma maombi katika vyama vyao vya kisiasa. Na makumi mbili na sita(26) waliosalia wanaenda kwenye uchaguzi huu wa mkuu wa Mkoa wa Kinshasa kama watu huru.
Hii hapa ndiyo orodha kamili.