Kinshasa: Fally Ipupa anaghairi tamasha lake katika usiku wa Francophonie
Msanii wa muziki Fally Ipupa hatatumbuiza tena katika usiku wa Francophonie. Msanii huyo alifahamisha hayo katika mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii mnamo Agosti taré tatu.
Fally Ipupa anaegemea kukataa kwake kwenye maono yake ya kimuziki jambo ambalo linampelekea kuwaachia wasanii wengine nafasi.
Msanii huyo tayari ataenda kutsheza nchini côté d'ivoire mnamo Agosti taré 5. Ushiriki wake katika kufungwa kwa michezo ya La Francophonie haukuwa wa uhakika.