DRC: Vyeti ya mafanikio ya Exetat 2024 sasa vinapatikana kwenye mitandao ya mawasiliano
Katika taarifa kwa vyombo ya habari iliyopokelewa Siku ya pili Agosti tare makumi mbili na Une.cd, ukaguzi wa jumla ya Wizara ya Elimu ya Kitaifa na Uraia Mpya, ulitangaza kuwa vyeti ya kufaulu kwa mtihani wa Jimbo, toleo la 2023-2024 vinapatikana mtandaoni ,na inapatikana kwa njia zote ya mawasiliano ya simu.
Waombaji watahitaji kufuata utaratibu ufuatao, kulingana na mitandao yao ya simu.
• Vodacom: *42202#
• Airtel: *4122#
• Orange : *4040#
• Africell: *41400#
Ifuatayo ni taarifa kwa vyombo vya habari kutoka kwa Inspekta Jenerali
