DRC: Constant Mutamba alihukumiwa miaka 3 ya kulazimishwa

Cour  ya Cassation inatoka Ku condamné, waziri wa zamani wa serikali anayesimamia haki, Constant Mutamba Tungungu mnamo Jumanne, Septemba 2, miaka mitatu ya kulazimishwa kufanya kazi ju ya mtshepuko wa pesa za umma.

Redaction

2 mwezi wa kenda 2025 - 21:28
2 mwezi wa kenda 2025 - 21:28
 0
DRC: Constant Mutamba alihukumiwa miaka 3 ya kulazimishwa

Cour ilimtambua Waziri  muheshimiwa  mwenye hatia ya ubadilishaji wa milioni 19 yenye ilikusudia ujenzi wa gereza huko Kisangani, katika jimbo ya Tshopo.

Mbali na hukumu hii kuu,   Cour Kuu imetamka vikwazo kadhaa ya ziada ju yake, pamoja na marufuku kwa miaka mitano, baada ya kutekelezwa kwa hukumu yake, haki ya kupiga kura na kustahiki na ufikiaji wa kazi za umma. 

Cour pia imeamua kunyima haki ya msamaha na ukarabati dhidi ya  Constant Mutambana pia urejesho wa dola 19 ya Amerika kwa Hazina ya Umma.

Kulingana na uamuzi huo, fedha zilizoelekezwa zilikuwa zimehamishiwa kwa ujenzi wa kampuni ya Zion na lazima irudishwe kwenye compte ya Wizara ya Sheria.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.