Haut - Uele: Kampuni ya IOB Sarl imejitayarisha  kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya Faradje-Dungu , iliyopangwa kufanyika Ijumaa

Redaction

31 Mwezi wa kumi 2024 - 09:35
31 Mwezi wa kumi 2024 - 09:36
 0
Haut - Uele: Kampuni ya IOB Sarl imejitayarisha  kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya Faradje-Dungu , iliyopangwa kufanyika Ijumaa

Kampuni ya Inter Oriental Builders (IOB) imejitayarisha kuanza makazi ya kutengeza Barbara  Siku ya tatu hii, Oktoba 30 kama sehemu ya mradi wa ukarabati wa barabara ya Faradje-Dungu, katika jimbo la Haut-Uele. Uzinduzi huu rasmi wa kazi utafanyika Ijumaa hii, Novemba 1, 2024, kutoka Nagero, katika eneo la Dungu.

Kazi hiyo itazinduliwa na waziri wa miundombinu wa mkoa, Sumbu Afongenda, ambaye alitumwa mapema Jumatano hii na mkuu wa mtendaji wa mkoa, Jean Bakomito Gambu ambaye amedhamiria kwa dhati kukarabati barabara za Haut-Uele.

Redaction UNE.CD est un média en ligne basé à Kinshasa, capitale de la République Démocratique du Congo, qui collecte, traite et diffuse des informations générales de la RDC, l'Afrique et le Monde. Grâce à nous, l'actualité vous suit partout en temps réel sur votre téléphone, tablette et ordinateur en un seul clic.